Saturday, July 27, 2013

Tunda man ameimba Qaswida, Sikiliza na Kudownload hapa

Kamatia ngoma mpya ya Berry black ft Alikiba _ ishara zangu

Bonge la Ajari imetokea kibaha maili moja


gali ndogo aina ya suzuki ilikua inaipita gali jingine aina ya scania
kabla aijaludi katka njia yake
ikagongana uso kwa uso na Scania, gali ndogo ikaingizwa uvunguni kisha gali kubwa ikagongana na gali jingine,
deleva wa gali ndogo amefaliki papo hapo na mejeluhi kazaa wamepelekwa hospital Tumbi.
tutaendelea kuwajuza

Friday, July 19, 2013

serikari ya DRc inafanya vizuri mjini goma

.Hapo jana jeshi la DRC lilitoa taarifa kua kwa sehemu kubwa wamefanikiwa kuwaludisha nyuma kundi la M23.
Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Bin Ki Moon amewaeleza FRDC kwamba wazingatie haki za binadamu wasizidhalilishe maiti za M23
wala kuwanyanyasa mateka waliokamatwa.

Saturday, July 13, 2013

Jeshi la polisi limepeleka askari Afrika kusini

Jeshi la polisi limepeleka askari Afrika kusini, kuwahoji AGNES na Melisa waliokamatwa na madawa ya kulevya
jeshi la polisi nchini linaendelea na uchunguzi wake juu ya tukio la wasichana wawili ambao ni laia wa Tanzania
waliokamatwa ijumaa july5 katika uwanja wa ndege wa kimataifa nchini A.kusini kwa kukutwa na dawa za kulevya aina ya Crystal

Thursday, July 11, 2013

Maendeo ya Nelson mandela kdogo afadhari

Nelson Mandela anaendelea vizur kdogo
japo hali yake bado sio nzuri sana ila inatia moyo tofauti na zamani

Wednesday, July 10, 2013

Z-Anto Afiwa na mama yake Mzazi


Msanii Ally Mohamed au Z-ANTO Amefiwa na Mama yake mzazi kwa niaba ya timu mzima ya Blog hii tunatoa pole
kwa Z-ANTO
mungu amjaze imani
kwa kipindi hiki cha majonzi

Monday, July 8, 2013

Ndege ya Raisi wa somalia yashika moto

Ndege iliyokua inambeba raisi wa somalia, imelazimika kutua kwa dharura mjini Mogadishu baada ya moja ya mabawa yake kushika moto

Thursday, July 4, 2013

CAMEROON IMEFUNGIWA NA FIFA

Cameroon imefuniwa kwa muda na FIFA kufuatia serikari ya nchi hiyo kujiingiza katika masuala ya chama cha soka nchini humo

Wednesday, July 3, 2013

SIMBA SC WAMTUPIA VIRAGO JUMA KASEJA

TIMU ya Simba SC imetangaza rasmi kuachana na mlinda mlango wake mahiri, Juma Kaseja.
Simba SC kupitia kwa Mwenyekiti wake wa kamati ya usajili, Zacharia Hans Pop, umetangaza kuachana na kipa huyo ambaye ni nahodha wa Timu ya Taifa, Taifa stars.
JE, SIMBA SC kuachana na nahodha wa Taifa Stars ambaye bado anaonekana ni kipa mahili ni sahihi? Au kuna kitu ndani yake?

Tuesday, July 2, 2013

Umoja wa matafa wasikitishwa na kupungua kwa walinda amani kwenye mpaka wa Syria na Israel

SYRIA:
kikosi hicho cha Umoja wa Mataifa cha UNDOF
Kilichopo kwenye mpaka tete wa Syria na Israel kimeshuhudia idadi ya wanajeshi wake wakipungua na kufikia 530
kutoka 1050 baada ya Japan na Croatia kuondoa vikosi vyao.

Liverpool wamsajili kolo Toure

Klabu ya liverpool imekamilisha usajili wa beki wa kimataifa wa ivory cost Kolo Toure kutoka Manchester City.

Familia ya Mandela yazozana kuhusu Makaburi

Familia ya Mandela imemshtaki mjukuu wa Mandela, Mandia
katika juhudi za kutaka kufukua maiti za wanawe Mandela ili wawazike katika Makaburi ya Qunu. Ambako mandela anakataa kuzikwa.

Waathiriwa wa mashambulizi ya 1998 wakumbukwa TZ


Raisi Barack Obama amewakumbuka waathiriwa wa mashambulizi ya mabomu dhidi ya ubalozi wa Marekani nchini Tanzania mwaka 1998

Sherehe ya siku ya kuzaliwa mandela kupangwa

Rais wa Afrika. K Jacob Zuma ameambia taifa hilo lianze kujiandaa kwa sherehe za siku ya kuzaliwa ya Mandela tarehe 18 mwezi julai.

Wednesday, May 22, 2013

Chris brown apa ajari

Mwan music wa R&N Chris brown
Alipata ajari ya gali jana May21
huko Ros Angeles
aligonga gali lingine kwa nyuma lililokua mbele yake .

Wednesday, May 8, 2013

Raisi Jakaya Mrisho kikwete amewasili Pande za Kibaha Leo

Raisi Jakaya Mrisho Kikwete amewasili na Ndege leo Kibaha jeshini Msangani
amekuja na Ndege kuwaaga wanajeshi wanaokwenda Kongo kwaajir ya kulinda amani
{hasso blog}

Monday, April 29, 2013

Download

To Young Killer Ft Belle 9 - Dear Gambe.mp3

Powered by http://mp3sk.com/

Download new song To Young Killer ft belle9_dear gambe

http://mp3sk.com/getmp3.php?q=aHR0cDovL3RyY2tyLmh1bGtzaGFyZS5jb20vaHVsa2RsL25ncmZ2dW5uM21rZy8gdG8gWW91bmcgS2lsbGVyIGZ0IEJlbGxlIDkgLSBEZWFyIEdhbWJlLm1wMz96PTE

Download To Young Killer ft belly9 _Dear Gambe

Bofya apa chini
To Young Killer Ft Belle 9 - Dear Gambe.mp3

Powered by http://mp3sk.com/

Viini vinavyosababisha Malaria visivyo sikia dawa

Aina mpya ya viini vinavyosababisha malaria
ambavyo havisikii dawa
vimegunduliwa na wanasayansi

Viini vinavyosababisha Malaria visivyo sikia dawa

Aina mpya ya viini vinavyosababisha malaria
ambavyo havisikii dawa
vimegunduliwa na wanasayansi

Thursday, April 25, 2013

Wednesday, April 17, 2013

BIBI KIDUDE AFARIKI DUNIA

Taarifa za hivi punde ni kwamba Fatma binti Baraka au Bibi Kidude Amefariki dunia ila chanzo akijajulikana

Wednesday, April 10, 2013

MTO WA RUVU UMEJAA MAJI

Mto wa ruvu umejaa maji kutoka na mvua zinazonyesha kwa wingi huko morogoro
wakulima wa maeneo ya ruvu darajan walia mpungu umefukiwa na maji
kuna hatar ya mpunga wote kuondoka na maji

Monday, April 1, 2013

Idadi ya maiti mpaka sasa imefikia 30

Maafisa nchini Tanzania wanasema kuwa takribani maiti 30 zimepatikana kutoka kwa vifusi vya jengo lililoporomoka mjini Dar es Salaam Ijumaa.

Friday, March 29, 2013

Sheta ft Rich mavoco -Sio masihara

Huko Bollywood/ Sunny Deol atoa filamu mpya

Muigizaji wa Bollywood Sunny Deol
ametoa movie mpya inayoitwa Yamla Pagla Deewana 2.
Amecheza na mke wake Linda na mtoto wake wa kiume,
hadisi inahusu Uingeleza recession.

Thursday, March 28, 2013

Kijana Nick D'Aloisio apa mamilioni ya fedha

Kampuni ya yahoo imenunu programu tumishi ya simu ya mkononi
kwa mamilioni ya fedha
iliyovumbuliwa na kijana Nick D'Aloisio

Monday, March 25, 2013

Atimaye kajara atoka jela

Ni baada ya kusomewa hukumu na kutakiwa aende jela mia 5 au alipe milioni 13
kwa bahati Wema Sepetu amejitolea kumlipia kajara

Thursday, March 21, 2013

JUSTIN TIMBERLAKE - SUIT & TIE ( AEROPLANE REMIX )

JUSTIN TIMBERLAKE - SUIT & TIE ( AEROPLANE REMIX )

Download (audio) Shah bang ft Bonta & G Nako _ Ongea kitu

Bofya apa chini

Download Grey Baby boy & Soprano _ nimechoka

Bofya apa chini

Download Keem ft China- tikisa

Bofya apa chini

Download Double k ft Sumila _Nisamehe

Bofya apa chini

Download new song> MATONYA _SEMBULE

Bofya apa chini

Download New hit Jan b ft Sayen _MAN' ME

Bofya apa chini

Download New hit Jan b ft Sayen _MAN' ME

Download New hit Jan b ft Sayen _MAN' ME

Bofya apa chini

Download LANGA _I am Supplying

Bofya apa chini

Download Jaykar ft Double k- hisia za moyoni

Bofya apa chini

Tuesday, March 19, 2013

Download New song~ D'BANJ FT KANYE WEST -SCAPE GOAT [REMIX]

Bofya apa chini

D.banj ft Kanye West- Scape Goat [Remix]

DOWNLOAD New song_ PETER MSECHU FT JOH MAKINI -KUMBE!

Bofya apa chini

Download new song_ Kenny-domea domea

Bofya apa chini

Download J.o ft prience baraka -kis

Bofya apa chini

Download Mors G ft Nician - No fakeness

Bofya apa chini

Newtone. Haina rangi {hassopairoti.blogspot.com}

Bofya apa chini

Papa Francis atawazwa rasmi

Kiongozi wa kanisa katoriki duniani, atawazwa rasmi leo mjini Vatican

Sunday, March 17, 2013

Mwanajeshi wa somalia auwawa Mali

Ufaransa yasema mwanajeshi wake mmoja
ameuwawa kwenye mripuko kaskazini mwa Mali

Mwandishi wa habari wa Somalia aachiliwa

Mwandishi wa habari aleyeripoti juu ya mwanamke aleyebakwa na wanajeshi, afutiwa mashtaka

WANACHAMA WA MDC WAKAMATWA ZIMBABWE

Maafisa waandamizi wa chama cha MDC cha Waziri mkuu Morgan Tsvangirai
wakamatwa baada ya kura ya maoni kuhusu katika mpya

Friday, March 15, 2013

Hasso blog/ Download Pitbull and Timbaland mix by dj x name

Bofya apa chini

Hassopairoti blog/ Download Rickros new song

Download new song. NAY FT DIAMOND _ Muziki gan

Download Ney ft diamond. /hassopairoti.blogspot.com

Download

Download ney ft diamond _musik gan

Katiba mpya Zimbabwe? Kura yafanyika leo

Zimbabwe imapiga kura za maoni hii leo kwa kielelezo cha katiba.
Hata hivyo wasiwasi waelezewa juu ya maandalizi ya kura hiyo.

Download Audio) Nay wa mitego ft Diamond Platnumz - Muziki Gani

BONGO STAR LINK: (Audio) Nay wa mitego ft Diamond Platnumz - Muziki Gani

Friday, March 8, 2013

Kampuni ya Microsoft matatani

Kampuni ya Microsoft imetozwa faini ya dola milioni 731
kwa kutowapa watumiaji uwezo wa kuchagua mfumo wa internet

Thursday, March 7, 2013

Kabla ya kuamka kumbuka kumuomba Mwenyezi Mungu /Jikumbushe na Hasso

Jambo muhimu kila ukiamka kabla hujafanya lolote
unatakiwa kumuomba Mungu
ili akufanyie wepesi kwa kila jambo unalotaka kulifanya,

Mazoezi kabla ya kifungua kinywa /JIKUMBUSHE NA HASSO

Mazoez ni muhimu sana, unashauliwa kufanya mazoezi kabla ya kifungua kinywa
yani pale tumbo linapokua tupu, unatakiwa kufanya mazoez ya viungo kwa ajili ya afya yako..

Monday, March 4, 2013

Wakenya wapiga kura ya aina yake

Wakenya wangali wanapiga kura licha ya muda wa mwisho wa shughuli hiyo ni saa kumi na moja jioni kutimia

Friday, March 1, 2013

Usiiangalie JANA kwa Hasira wala kesho kwa WOGA Bali itazame LEO kwa HEKIMA na BUSARA

Maisha ni kama kitabu, kila unapoamka unafunguka ukulasa mpya. Na yanaandikwa matendo yako yote..

Mpaka sasa umeshaandika kurasa kibao
Mwenyez mungu pekee ndiye anayejua zimebaki kulasa ngapi..
Kurasa zikiisha kitabu kitafungwa na umaut utakufika na kesho kiama utahesabiwa matendo yako. Na utahukumiwa.
Je umejiandaaje?

Soma kipimo cha mapenzi apo chini by hassopairoti.blogspot.com


Kwa mwanaume kujua kama unapendwa ni kupewa penz kila unapoitaji bila longolongo,
na kwa mwanamke kujua kama unapendwa ni kutimiziwa mahitaji yako kila unapohitaji bila longolongo....

Wednesday, February 27, 2013

Naj ft. ngwea-Naj

Naj ft. ngwea-Naj

MCHECK 50 cent akiojiwa

  •                                                                                                                                                                                                                                                                                                                    

MCHECK 50 cent akiojiwa

  •                                                                                                                                                                                                                                                                                                                    

MCHECK 50 cent akiojiwa

  •                                                                                                                                                                                                                                                                                                                    

Check vidio kali

diamond kesho

Check vidio kali

diamond kesho

Mkali Ndiyanka msanii kutoka Kibaha, katikati akiwa na T,I & Rickros,

wasanii hao wakiwa wanaelekea kwenye show

Mkali Ndiyanka msanii kutoka Kibaha, katikati akiwa na T,I & Rickros,

wasanii hao wakiwa wanaelekea kwenye show

Namkubali sana Dj mkali wa apa jijini, anaitwa Dj Fetty

Namkubali sana Dj mkali wa apa jijini, anaitwa Dj Fetty

Habari zenu wasomi wa blog

mcha huu uwe mzuri kwenu

Habari zenu wasomi wa blog

mcha huu uwe mzuri kwenu

Wednesday, February 20, 2013

Baadhi ya Wanafunzi waliofeli wameamua kujinyonga!

Ni matukio tofautitofauti yaliotokea sehem mbalimbali haswa Dar kwa watoto wakishua waliojiamini kua watafaulu matokeo yake wamedondokea pua

Wednesday, February 13, 2013

HAPPY VALENTINE FOR ALL

FACEBOOK YAVUNJA UCHUMBA WA MTU BAADA YA MESSAGE ZA MAPENZI KUNASWA

Kaka mmoja wa hapa dar ameamua kuvunja uchumba baada ya kukuta massage za mapenzi katika acount ya facebook ya mwanamke ambaye alitaka kumuoa.. Alikua tayari ameshatoa mahari lakini ilimbidi abadilishe maamuzi na kwenda kudai mahari yake!

Monday, February 11, 2013

Watu 100 wauwawa Sudan Kusin

Umoja wa mataifa wasema mauaji makubwa kabisa yametokea Sudan Kusini tangu kupata uhuru miaka miwili iliyopita

Papa benedict ajiuzulu

Waziri mkuu wa italia, Mario Monti akizungumza baada ya kupokea habar za kujiuzulu kwa papa benedict, Amesema ameshtushwa na tukio hilo

PENNY DIAMOND MAPENZ WAZI WAZI

Diamond kwa sasa ameamia kwa Penny mazima
katika show ya kigamboni walionyesha mapenz yao mbele ya mashabiki wao
akiwemo mama mzazi wa diamond

Jaman anaetaka majibu ya form4 haya apa

Click apo chini

Habari zenu wapendwa

Kua mjanja kupata habari mbalimbali za nje na ndani
na utaweza ku downlod nyimbo mbalimbali
:ASANTENI

: HAWA NDIO WASANII WATANO BONGO MATAJIRI

CHUMA BLOG: HAWA NDIO WASANII WATANO BONGO MATAJIRI

NOLNIZ: Download | Benjamini wa Mambo Jambo - Scandal [Audio]

NOLNIZ: Download | Benjamini wa Mambo Jambo - Scandal [Audio]

NOLNIZ: Download | Benjamini wa Mambo Jambo - Scandal [Audio]

NOLNIZ: Download | Benjamini wa Mambo Jambo - Scandal [Audio]

Sunday, February 10, 2013

Majibu ya kidato cha nne yanatoka leo

Majibu yakisubiliwa kwa hamu kubwa
leo ndo yanategemea kutoka, tutawaletea muda c mrefu