Tuesday, March 4, 2014

Brand New Single: Jux amuimbia mpenzi wake Jackie Cliff "Nitasubiri"

Chini ya producer Bob Maneck, Jux amefanikiwa kuweka hisia zake kwenye beat na kuzungumza jinsi ambavyo anampenda na jinsi alivyokuwa akijiskia kuwa mbali na mpenzi wake Jacky Cliff mara baada ya madai kuwa alikuwa amekamatwa nchini China . Jux amethibitisha kuwa wimbo huo ni true story inayohusu maisha yake na uhusuniano wake Na Jackie Cliff, ndio maana katika wimbo huu anamuimbia na kumueleza kuwa atasubiri, asilie, asikate tamaa yeye atasubiri ingawa anajua sio mapema lakini atasubiri na atamuona tena. usikilize wimbo huo hapa chini

No comments:

Post a Comment